Hawa ni watumishi wetu wa idara ya dharula , wakiwa na nyuso za furaha na utayali wa kuwahudumia wagonjwa. ...Read more

Karibu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa mtwara ( ligula ) , tumejitolea kutoa huduma bora za afya kwa wateja wetu. Hospitali hutoa huduma maalum na ya jumla za kitabibu , masaa 24 kwa wagonjwa wa nje na wagonjwa ndani . Uwezo wa vitanda ni 250 na watumishi wa taaluma za afya ...
Read moreHuduma zinazotolea ni:-
KLINIKI YA NJE
Kliniki ya kuona wagonjwa wa nje hufanyika mara mbili kwa wiki, kila Jumanne na Alhamis kuanzia saa 2 na nusu asubuhi mpaka saa tisa na nusu mchana.
Kliniki hii inahudumia wagonjwa wote wanaotoka nyumban...
readmoreIdara ya upasuaji ni moja ya idara kuu za Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Ligula,Historia ya idara hii inaenda pamoja na historia ya hospitali ambayo ilianzishwa kama kituo cha kutolea huduma kwa majeruhi wa vita vya ukombozi vilivyoongozwa na chama cha FRELIM...
readmoreHawa ni watumishi wetu wa idara ya dharula , wakiwa na nyuso za furaha na utayali wa kuwahudumia wagonjwa. ...Read more